Thursday, April 9, 2015

BREAKING NEWS :

MABASI :NGORIKA NA RATCO BUS YAMEGONGANA MKATA


HABARI NYINGINE TUTAENDELEA KUWA LETEA ........ PUNDE




                     Kwa habari zilizo tufikia nikwamba kulikua na mzee aliekua akiendesha gari dogo ambalo ndani alikua na mwanae  anaedaiwa kuwa chizi ambae ingawa alikua akfungwa ila bado alikua akimsumbua mzee huyo aliekua akiendesha gari hiyo ndogo nakusababisha  mzee huyo kuingia  katikati ya barabara nakusababisha mabasi hayo kugongana tutaendelea kuku habarisha endelea kupitia  blog hii..

            Ajali nyingine tena imetokea Tanga leo APRIL 9 2015, taarifa za awali zinasema watu 10 wamefariki na wengine wamepata majeraha kutokana na ajali hiyo iliyotokea eneo la Mkata, Wilaya ya Handeni Tanga, gari zilizopata ajali hiyo ni basi la NGORIKA, jingine laRATCO pamoja na gari nyingine ndogo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, RPC Juma Ndaki kathibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akisema kwamba mwendo kasi umechangia kutokea ajali hiyo

1 comment:

Labels

Translate